More Links

Webmail
PSP
FAQ

Agencies

TPSC
TGDLC

Polls

How do you rate our Website
 

In Focus

FPSS slide image

Mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa Wiki ya Utumishi Waziri wa Fedha na Uchumi Mh. Mustafa Mkulo (wa pili kulia), akipata maelezo katika banda la Utumishi, akiwa na Kaimu Katibu Mkuu-Utumishi Bw. Eric F. Shitindi (wa kwanza kulia).

FPSS slide image

Waziri wa Fedha na Uchumi  Mh. Mustafa H. Mkulo akifungua rasmi maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, uwanja wa CCM Kirumba Mwanza

FPSS slide image

A group photo of e-Government Agency Implementation Team and Consultants during Project Management Training

FPSS slide image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akimvisha Bw. Dominick A. Minja wa Ofisi ya Rais-Utumishi Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la pili katika uwanja wa Nyerere Dodoma

FPSS slide image

Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Hawa A. Ghasia akimtunuku cheti Katibu wa Baraza Kuu katika Utumishi wa Umma na Baraza la Majadiliano ya pamoja katika Utumishi wa Umma Bw. Mathias Kabunduguru baada ya kumaliza muda wa nafasi hiyo

FPSS slide image

Bw. Dominick Minja aliyetunukiwa Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la pili, akiongea katika hafla iliyoandaliwa na Ofisi ya Rais-Utumishi kuwapongeza watumishi waliotunukiwa nishani

FPSS slide image

WIKI YA UTUMISHI - MWANZA: Wananchi wakipata maelezo kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na Ofisi ya Rais-Utumishi katika kiwanja cha CCM Kirumba

FPSS slide image

Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Hawa A. Ghasia (MB) akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh. Abbas Kandoro tuzo wakati wa kilele cha maonesho ya Wiki ya Utumishi  baada ya mkoa wake kuibuka mshindi katika kushughulikia masuala ya ugonjwa wa UKIMWI 

FPSS slide image

Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mwanza wakielimishwa kuhusu matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEKNOHAMA)  serikalini katika banda la Utumishi uwanja wa CCM Kirumba

FPSS slide image

Mteja akihudumiwa katika banda la Ofisi ya Rais, Utumishi wakati wa maonesho ya wiki ya Utumishi, uwanja wa CCM Kirumba 

FPSS slide image

Mkuu wa sehemu ya Utumishi-Bi. Jane Kajiru akifungua mafunzo kuhusu ugonjwa wa UKIMWI kwa watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi  jijini Dar es salaam

FPSS slide image

Kaimu Katibu Mkuu-Utumishi Bw. Mick Kiliba, katikati,  akiongea katika hafla ya kumuaga Bw. Fredirick Mbaga (kulia) aliyekua Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Utumishi wa Umma kwa kustaafu, kushoto, mke wa Bw. Mbaga.

FPSS slide image

Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Hawa A. Ghasia (MB) akiwa katika picha ya pamoja na moja kati ya washindi wa maonesho ya Wiki ya Utumishi katika kiwanja cha CCM Kirumba, Mwanza

FPSS slide image

Jengo la Serikali-Mtandao lililozinduliwa sambamba na Awamu ya pili ya Programu ya Kuboresha Utumishi wa Umma.

FPSS slide image

Mtumishi wa Ofisi ya Rais-utumishi akieleza faida za kupima na kuwa mkweli kuhusu afya wakati wa mafunzo kuhusu ugonjwa wa UKIMWI

FPSS slide image

Wakazi wa Mwanza na mikoa ya jirani wakiwa katika sherehe za uzinduzi wa Wiki ya Utumishi wa Umma, uwanja wa CCM Kirumba

FPSS slide image

Shamrashamra wakati wa kumuaga aliyekua Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Utumishi wa Umma  Bw. F.Mbaga

FPSS slide image

Bendi ikiongoza maandamano ya watumishi wa Umma kutoka taasisi mbalimbali wakati wa sherehe za uzinduzi wa Wiki ya Utumishi wa Umma  

FPSS slide image

Wadau wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakipata huduma wakati wa Maonesho ya Wiki ya Utumishi, Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza

FPSS slide image

Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Hawa A. Ghasia (MB) akihudumia wateja wakati wa maonesho ya Saba saba - Dar es salaam

FPSS slide image

WASHINDI: Bw. Nigel Msangi, akinyanyua kikombe cha ushindi juu baada ya kukabidhiwa na Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohamed Shein katika maonesho ya Nane nane, Dodoma

FPSS slide image

Mmoja wa watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi akipata ushauri kabla ya kupima afya

FPSS slide image

Bw. Fredrick Mbaga, na mkewe wakiwa na  zawadi waliyokabidhiwa katika sherehe ya kumuaga Bw. F. Mbaga kwa kustaafu 

FPSS slide image

Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Hawa A. Ghasia (MB) akihutubia wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, Mwanza

FPSS slide image

Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Hawa A. Ghasia akimkabidhi zawadi Katibu Mkuu-Utumishi Bw. George D. Yambesi katika hafla ya kuwapongeza watumishi waliopata nishani za utumishi wa muda mrefu

FPSS slide image

Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Hawa A.Ghasia (MB) akimkabidhi vitendea kazi Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw. David K. Jairo (kushoto) baada ya kuzindua rasmi wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania

FPSS slide image

Rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akitembelea banda la Utumishi na kujionea huduma mbalimbali zinazotolewa, Nane nane-Dodoma

HOTUBA YA MAKADIRIO YA FEDHA KWA MWAKA 2010-2011

Hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Hawa A. Ghasia (MB) akiwasilisha Bungeni makadirio ya matumizi ya fedha kwa mwaka 2010-2011.

Tafadhali bonyeza hapa kusoma hotuba yote >>>

Last Updated ( Monday, 21 June 2010 )
 
SERIKALI INATAMBUA MCHANGO WA ASASI ZISIZO ZA KISERIKALI

Serikali imetambua kwamba katika kutekeleza majukumu yake asasi zisizo za Kiserikali ni muhimili wa msingi kutokana na mtandao wake mpana katika jamii, kazi wanazofanya na kiwango cha imani ambacho wananchi wanacho kwa sekta hizi. Mkurugenzi wa Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi-Utumishi Bw. Mick Kiliba amesema hayo kwa niaba ya Katibu Mkuu-Utumishi wakati akifungua mkutano wa kujadili namna ya kushirikisha asasi za kijamii kama sehemu ya kuongeza uwajibikaji wa serikali.

Tafadhali bonyeza hapa kusoma hotuba yote >>>  

Last Updated ( Thursday, 27 May 2010 )
 
MASWALI NA MAJIBU YA WADAU WA OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA WAKATI WA MAONESHO

Kama sehemu ya kuelimisha kuhusu huduma zinazotolewa na serikali, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR MUU) iliratibu Wiki ya Utumishi wa Umma kuanzia 16-23 Juni 2009, Pia ilishiriki maonesho ya kimataifa ya Saba Saba katika viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere-Barabara ya Kilwa na Nane nane katika viwanja vya Nzuguni mkoani Dodoma 2009. yafuatayo ni maswali yaliyoulizwa na wadau mbalimbali, na majibu yake

Last Updated ( Tuesday, 27 October 2009 )
Read more...
 
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 Next > End >>

Results 1 - 4 of 36

Events Calendar

July 2010 August 2010
Su Mo Tu We Th Fr Sa
Week 26 1 2 3
Week 27 4 5 6 7 8 9 10
Week 28 11 12 13 14 15 16 17
Week 29 18 19 20 21 22 23 24
Week 30 25 26 27 28 29 30 31

Upcoming Events

There are no upcoming events currently scheduled.

Who's Online